RUFAA ya kupinga kuvuliwa ubunge wa aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini,
Godbless Lema (CHADEMA), imesikilizwa leo na jopo la majaji watatu wa
Mahakama ya Rufaa, wakiongozwa na Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande,
na kisha kuahirishwa hadi siku ambayo itatangazwa baadae
Wanachama wa CHADEMA
wanachama wa CHADEMA
Mh Lema akizungumza kuagana na wananchi waliokuwa
nae mahakamani mda mfupi uliopita.
Baadhi ya wananchi waliokusanyika nje ya ofisi za Chadema Mkoa wa
Arusha, eneo la Ngarenaro wakimsikiliza Mh Godbless Lema haonekeni
pichani mara baada ya kutoka Mahakamani kusikiliza shauri lake kupinga
kuvuliwa ubunge. Picha hii ni taswira nusu ya kwanza ya watu
Shamrashamra barabarani wakitoka Mahakamani hii leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment