Pages

Monday, October 1, 2012

Msapoti chalii wa Arusha.

Raydream ni kipaji kutoka kaskazini (Arusha) kinachofanya muziki aina ya bongofleva/ R n' B, ni msanii mwenye mustakabali mzuri...ebu chukua time yako kumsikiliza na ukiweza kupakua wimbo wake uitwao NENDA.
                                                       gonga hapa kupakua na kusikiliza

0 comments:

Post a Comment